Google PlusRSS FeedEmail

BULEMBO MWENYEKITI MPYA WAZAZI CCM

[Read More]

Vijana wanaofanya biashara kwenye barabara kuu kama ionekanavyo hapo pichani kwenye bara bara ya Mandela, wanahitaji kusaidiwa kwa mambo mengi maana matendo wanayofanya kwa sasa ni hatari kwao na kwa watumiaji wengine wa barabara hizo, ni vyema mamlaka husika wangewapa elimu ya usalama barabarani na pia suala zima la mazingira,hii pia ni hatari kwa watumiaji wengine wa barabara,

VIJANA HAWA WANAHITAJI KUSAIDIWA...

Vijana wanaofanya biashara kwenye barabara kuu kama ionekanavyo hapo pichani kwenye bara bara ya Mandela, wanahitaji kusaidiwa kwa mambo men... [Read More]

DR SHEIN AHIMIZA AMANI NA USALAMA ZANZIBAR.

Dr Shein akihutubia wananchi wa Zanzibar,juu ya Amani na Utulivu. Na; Ali Msuko, Znz. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,... [Read More]

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kufunga kampeni za CCM za udiwani Kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga, jana, Oktoba 27.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia mkutano wa kampeni a uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige wakiwa na  watafiti wa madini  kutoka kampuni ya Majordrilling, katika kijiji cha Kakola wilayani Kahama mkoani Shinyanga
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwa katika mapokezi ya wananchi alipowasili kwenye mkutano wa kufunga kampeni za CCM za udiwani kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga
 Wananchi katika kata ya Bugarama , Kahama mkoani Shinyanga, wakishangilia wakati wa kufunga kampeni za CCM za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo
 Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige (kushoto) akimlaki Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alipowasili Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya kufunga kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Bugarama, mkoani humo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kahama, Mabala Mlolwa.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana kw furaha na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Hamis Mgeja walipokutana katika Kata ya Kakola, kabla ya kwenda kwenye mkutano wa kufunga kampeni za udiwani za CCM kata ya Bugarama mkoani humo.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige wakishiriki kucheza ngoma ya Baswezi, katika kijiji cha Buyange, Kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani za CCM kata ya Bugarama.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Sinyanga Hamis Mgeja wakishiriki kucheza ngoma ya Baswezi kwenye mkutano wa kampeni za udiwani kata ya Bugarama mkoani humo.
 Madiwani wa Kata za Kahama wakiwa na mgombea Udiwani wa CCM, Kata ya Bugarama katika wilaya hiyo Nixon Ikoko wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani katika kata hiyo, uliohutubiwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimsikiliza kwa makini Mbunge wa Msalala,  Ezekiel Maige wakati akimuombea kura mgombea udiwani wa CCM Kata ya Bugarama, kwenye mkutano wa kufunga kampeni za CCM uliofanyika mji mdogo wa Bugarama.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimnadi mgombea wa Udiwani kata ya Bugarama, Nixon Igogo kwenye mkutano wa kufunga kampeni za udiwani za CCM.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige wakiwa na  watafiti wa madini  kutoka kampuni ya Majordrilling, katika kijiji cha Kakola wilayani Kahama mkoani Shinyanga
  Wazee wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alipohutubia mkutano wa kufunga kampeni za udiwani za CCM  Kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga.
 Kina mama wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Kata ya Bugarama
 Mzee wa miaka 98, Nickson Toma akifuatilia kwa makini mkutano wa kampeni za udiwani Kata ya Bugarama mkoani Shinyanga uliohutubiwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akicharaza ngoma kwenye mkutano wa kampeni za udiwani Kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa shinyanga, Hamis Mgeja baada ya mkutano wa kufunga kampeni za udiwani za CCM Kata ya Bugarama mkoani humo, jana, Oktoba 27, 2012. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

NAPE , MAIGE NA MGEJA KATIKA KUFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI BUGARAMA, WILAYANI KAHAMA

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kufunga kampeni za... [Read More]

Meza kuu ikiwa na bango lenye ujumbe mzito kutoka katika nukuu za Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Katibu wa Halmashauri kuu Taifa (NEC) Siasa na Mahusiano ya Kimataifa Mhe. January Makamba akisalimiana na wageni waalikwa kutoka katika jumuiya za vijana vyama mbalimbali kusini na afrika ya kati.

Makatibu wa halmashauri kuu (NEC) kutoka Kulia Uchumi na Fedha Mhe. Mwigulu Nchemba, Siasa na Mahusiano ya Kimataifa Mhe. January Makamba na Itikadi na Uenezi Ndugu. Nape Nnauye.

Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ambao pia ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa nane wa Umoja wa Vijana wa CCM.

Vijana mbalimbali ambao wanawakilisha mikoa wakiwa na mabango ambayo yanaonyesha Mikoa wanayotoka.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi akisalimiana na viongozi mbalimbali wa chama hicho ambao walimpokea akiwa anaingia katika ukumbi wa mkutano wa nane wa vijana wa chama cha mapinduzi.

Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Ndugu Benno Malisa  akimueleza jambo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Jakaya Kikwete katika Mkutano huo.


Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wanaendelea na Mkutano Mkuu wa Taifa ambapo wanatarajia kuchagua viongozi mbalimbali katika ngazi ya Taifa ya jumuiya hiyo, ambapo jumla ya wagombea 133 wamejitokeza kuwania nafasi hizo ambazo ni nafasi ya Mwnyekiti, Makamo Mwenyekiti, Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) kupitia jumuiya ya vijana, ambapo nafasi (6) zinatoka bara na (4) zinatoka Tanzania Visiwani, nafasi nyingine ni Baraza Kuu Taifa, Viti 5 Bara na 5 Zanzibarm Nafasi ya Uwakilishi WAZAZI Taifa na mwisho ni nafasi ya uwakilishi UWT Taifa.

Mkutano Mkuu huo wa UVCCM umefunguliwa Na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, ulianza Rasmi, saa 4 asubuhi, ambapo Mhe. Rais alifanya ufunguzi kwa Hotuba makini, iliyoeleza mambo makubwa na ya msingi juu ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM).

Mhe. Jakaya Kikwete alisisitiza na kukumbusha juu ya Lengo kuu na Dhumuni Kuu la Chama Cha Mapinduzi lililotajwa katika katiba yake Ibara ya 5 ambayo inaeleza bayana kuwa ni kushinda uchaguzi na kushika dola.

Lakini pia akaeleza kuwa CCM kinategemea jumuiya yake hiyo kufanya kazi ya siasa miongoni mwa vijana wa Tanzania na kushawishi wakubali kuwa wanachama na wapenzi wa CCM. Akasisitiza kuwa matumaini makubwa ya msingi kuliko yote ya Chama Cha Mapinduzi ni kuona jumuiya yake hiyo inakuwa MKOMBOZI wa vijana.

 Mhe. Kikwete akawataka wahakikishe kuwa wanapata Viongozi ambaowataongoza vyema, watakaoongoza juhudi za kuendeleza, kutetea na kulinda maslahi ya CCM. Viongozi wanaoijua na kuipenda jumuiya ya Vijana.


MKUTANO WA JUMUIYA YA VIJANA WA CCM, DODOMA LEO.

Meza kuu ikiwa na bango lenye ujumbe mzito kutoka katika nukuu za Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi, Mhe. Jakaya Mrisho ... [Read More]

*Shigela: rushwa kutopenya kwenye uchaguzi wetu
*Awakamia watakaotafuta ushindi kwa njia hiyo na kampeni za majitaka
Shigela akizungumza mjini Dodoma leo
NA BASHIR NKOROMO, DODOMA, TANZANIA
WAKATI Uchaguzi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umemalizika juzi, huku ukidaiwa kugubikwa na ubabe na rushwa, Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) umejitapa kwamba, utahakikisha vitendo hivyo havitokei katika uchaguzi wake mkuu utakaofanyika kuanzia kesho mjini Dodoma.

UVCCM imeapa kwamba mgombea au hata mpambe atakayebainika kujihusisha na kampeni zilizo nje ya utaratibu na kanuni za UVCCM au kujihusisha na vitendo vya rushwa atashughulikiwa mara moja ikiwemo kuchukuliwa hatua za kisheria.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM,Martine Shigela alisema, wameweka mtandao mpana wa kutosha kukabiliana na aina yoyote ya ukiukwaji wa tararibu, kanuni na sheria za uchaguzi wa UVCCM.

"Sisi hatuwezi kuzungumzia hayo mnayosema, yamejitokeza kwenye uchaguzi wa UWT,lakini kwa upande wetu tunawahakikishieni kwamba tutamkabili vilivyo tena bila mzaha,mgombea au mpambe yeyote atakayejaribu  kutumia mbinu chafu za kampeni ikiwemo kutoa rushwa", alisema Shigela.

Shigela alisema, taratibu za mkutano mkuu utakaoambatana na uchaguzi huo, zimekamilika na utafanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere, uliopo Chuo Cha Mipango ambako ndiko ulikofanyika pia ule wa UWT.

Alisema, mkutano unaanza kesho, Oktoba 23, na utafunguliwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete."Hadi sasa maandalizi yamekamilika, leo Oktoba 22, tunakazi kupokea wageni mbalimbali kutoka maeneo kadhaa wakiwemo wa kutoka nchi za nje amabao watahudhuria mkutano wetu. alisema Shigela.

Katika nafasi ya Mwenyekiti wanachuana wagombea watatu, Lulu Mushamu Abdallah,  Sadifu Juma Khamis na Rashid Simai Msaraka wakati katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni Ally Salum Hapi, Paul Christian Makonda Mboni Mohamed Mhita.

Nafasi zingine ni, Halmashauri Kuu ya Taifa Viti sita (Bara) wagombea 40, Viti Vinne (Zanzibar) wagombea 22, Nafasi ya Baraza Kuu la Vijana Taifa Viti vitano Bara wagombea 39 na viti vitano Zanzibar wagombea 14,  Uwakilishi Wazazi Taifa na Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) wagombea 16 kila nafasi.

UCHAGUZI MKUU UVCCM KUANZA KESHO

*Shigela: rushwa kutopenya kwenye uchaguzi wetu *Awakamia watakaotafuta ushindi kwa njia hiyo na kampeni za majitaka Shigela akizungumza mji... [Read More]

NAPE,CHAMI, MAREALE WAWASHA MOTO KILEMA KUSINI

Dr.Cyril Chami ,mbunge na mjumbe wa NEC Moshi Vijijini,akiwasalimu wana Kilema Kusini na kuwapasha kuwa wakati wao ndio huu hivyo wahakikish... [Read More]

HOSPITALI YA HURUMA KUBEBA WAGONJWA KWA PIKIPIKI MAALUM

 Pikipiki za kubebea wagonjwa zikiwa zimepaki katika hospitali ya Huruma,wilaya ya Rombo mkoa wa Kilimanjaro, pikipiki hizi zitatumika ku... [Read More]


MBUNGE WA MOSHI VIJIJINI DR. CYRIL AUGUST CHAMI AMEIBUKA KIDEDEA
KATIKA UCHAGUZU WA MJUMBE WA NEC KUPITIA WILAYA YA MOSHI VIJIJINI.
DR. CHAMI ALIPATA KURA 967 (96%) KATI YA KURA 1008 ZILIZOPIGWA. KATIKA UCHAGUZI
HUO NDUGU GABRIEL MASENGA ALITETEA NAFASI YAKE YA MWENYEKITI WA CCM
WA WILAYA YA MOSHI VIJIJINI

DR CYRIL AUGUST CHAMI AIBUKA KIDEDEA UCHAGUZI WA CCM-NEC MOSHI VIJIJINI

MBUNGE WA MOSHI VIJIJINI DR. CYRIL AUGUST CHAMI AMEIBUKA KIDEDEA KATIKA UCHAGUZU WA MJUMBE WA NEC KUPITIA WILAYA YA MOSHI VIJIJINI. DR. CHAM... [Read More]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mhe.Shawana Bukheti Hassan, kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi wakati wa hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mhe,Saidi Mohamed Said,kuwa Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi, wakaati wa  hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar, leo mchana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Mhe, Mtumwa Kheir Mbarak,kuwa Naibu Waziri Kilimo na Maliasili,  wakati hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Bw Tahir M. Abdulla,kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,wakati wa hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar, leo mchana.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Bw Mustafa Aboud Jumbe,kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Makaazi,Maji na Nishati, katika haflailiyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar, leo mchana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha CDR Julius Nalimy Maziku,kuwa Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,IdaraMaalum za SMZ katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Bw Juma Ameir Hafidh,kuwa Naibu Katribu Mkuu Ofisi ya Rais (Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo), katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

RAIS AWAAPISHA MJUMBE (MBM),NAIBU MAWAZIRI NA NAIBU KATIBU WAKUU WA WIZARA MBALIMBALI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mhe.Shawana Bukheti Hassan, kuwa  Mjumbe wa Baraza ... [Read More]

UNEC-UVCCM KULETA VIJANA WACHAPA KAZI ZAIDI

[Read More]

KATA YA MSASANI YAPONGEZANA KUKAMILISHA UCHAGUZI SALAMA

  KATIBU Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akihutubia katika hafla ya wana CCM wa Kata ya Msasani, Dar es Salaam, kupongezana kwa  kukamilisha ucha... [Read More]