Google PlusRSS FeedEmail
Vijana machacahari Mtela Mwampamba na Juliana Shonza walioihama Chadema hivi karibubi, wakiserebuka nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Morogoro, baada ya msafara wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa,  Sadifa Hamis Juma kuwasili kwenye ofisi hiyo, Februari 28, 2013 kuanza ziara ya siku tatu mkoani humo.
Sadifa akipatiwa burudani ya shairi na mmoja wa waghani maarufu wa mashairi mkoani Morogoro.Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro, Sixtus Mapunda
Mwenyekiti wa UVCCM, Sadifa Hamis Juma akiwa na Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro, Sixtus Mapunda wakati wa mkutano wa ndani kati ya Mwenyekiti huyo na wajumbe wa Baraza la Vijana mkoa wa Morogoro
Mkuu wa Utawala wa UVCCM Taifa, Abdallah Mpokwa akitoa utambulisho wa watu walioambatana na Sadifa kwenye msafara huo, katika ukumbi wa CCM mkoa wa Morogoro
Kada wa CCM aliyehamia kutoka Chadema hivi karibuni, Mtela Mwampamba akisalimia baada ya kutambulishwa ukumbini.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar, Juma Borafya akisalimia baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho cha ndani. Wapili kulia ni Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro mjini, Ali Issa, Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM, Taifa, Mfaume Kizigo na Sixtus Mapunda
VIVA VIJANA VIVAAAA!!!!!, Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Sixtus Mapunda akiongoza salaam maalum kwa Vijana wa UVCCM ukumbini. Pamoja naye kutoka kulia ni Katibu wa CCM Morogoro, Ali Issa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Mfaume Kizigo. Walioketi kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Harrieth Sutta na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa.
VIVAAAA!!!, vijana wakiitikia salam ya Sixtus ukumbini, baadhi yao ni Shonza na Abubakar Assenga
VIVAAAA, VIVAAAA!!!!, Vijana wakiitikia  salam
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Morogoro Herieth Sutta akimkaribisha Sadifa kuzungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Sixtrus Mapunda
 NAFURAHI KUWA NA WEWE! Sadifa akimwambia Sixtus Mapunda kabla ya kuanza hotuba yake ya mkutano huo wa ndani uliofanyika Ofisi ya CCM mkoa wa Morogoro
Sadifa akizungumza kwenye mkutano huo wa ndani
Sadifa akisisitiza jambo
Na kusisitiza zaidi
Sadifa akizidi kusisitiza hotuba yake huku viongozi wakiwa makini kumzikiliza
ULIOCHAGULIWA MSIJIKWEZE, JISHUSHENI KWA WANACHAMA", Anasema Sadifa
 "Wapendeni waliowapinga wakati wa uchaguzi" msiwanunie, kama mtu hakukuunga mkono leo kwa hili ipo siku atakuunga kwa jengine", akasema
Sadifa akitoka na wenyeji wake ukumbini

SADIFA AONGOZA MASHAMBULIZI YA UVCCM MKOANI MOROGORO

Vijana machacahari Mtela Mwampamba na Juliana Shonza walioihama Chadema hivi karibubi, wakiserebuka nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Morogoro, ba... [Read More]

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA
(PSPF)
TAARIFA KWA UMMA
Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unawajulisha kwamba Mkutano Mkuu wa wadau utakaofanyika tarehe 07 na 08 Machi 2013 kuanzia saa mbili na nusu asubuhi hadi saa kumi jioni katika Ukumbi wa JB Belmont uliopo ghorofa ya 6 ya Jengo la Maegesho la PSPF - Golden Jubilee Towers , Dar es Salaam.

Madhumuni ya Mkutano huu ni kutoa taarifa ya hesabu ya mwaka na utendaji wa Mfuko na kutathmini mafanikio na changamoto zinazoukabili Mfuko na Sekta ya Hifadhi ya Jamii kwa ujumla.

Tafadhali thibitisha ushiriki wako kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Makao Makuu, Dar es Salaam au Ofisi za PSPF mikoani kabla ya tarehe 05 Machi 2013.

“PSPF - Tulizo la Wastaafu”

Kaimu Mkurugenzi Mkuu
Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma,
Golden Jubilee Towers, Ghorofa ya 6-13, Mtaa wa Ohio/Kibo,
Central Area, Kiwanja Na. 8, 9, 12 na 15,  S. L. P 4843. Dar-es-Salaam.
Simu: +255 22 2120912/52 au +255 22 2127375 /6
Nukushi: +255 22 2120930.

TAARIFA YA MKUTANO MKUU WA WADAU WA PSPF KUFANYIKA MACHI 7 NA 8 JIJINI DAR

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA (PSPF) TAARIFA KWA UMMA Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PS... [Read More]