Google PlusRSS FeedEmail

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA RASMI KIWANDA CHA BAKHRESA FOOD PRODUCTS LTD


Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa SSB Group, Said Salim Bakhresa alipofika kwenye kiwanda hicho, eneo la Mwandege katika mkoa wa Pwani leo, kwa ajili ya kukifungua rasmi. Katikati ni Mama salma Kikwete
Rais Kikwete akiwasalimia baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Pwani, Hajjat, Mwantum Mahiza.
 Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza Said Salim Bakhresa (kulia) wakati akitoa ufafanuzi kuhusu kiwanda chake hicho kinavyopambana ana hasara inayosababishwa na kutokuwa na umeme wa Tanesco
 Mazungumzo yakiendelea kwenye ukumbi wa kiwanda hicho
 Rais Kikwete akitazama baadhi ya bidhaa za 'Malt' za kiwanda hicho
 "Naam. bidhaa hizi ni Bora", akasema Rais Kikwete
 Rais Kikwete akieleza haja ya Tanesco kuwekeza huduma zake kwenye kiwanda hicho ili kupata fedha kwa manufaa ya Shirika hilo la Umeme
 Rais Kikwete na mwenyeji wake Saidi Bakhresa wakitoka kwenye mazungumzo tayari kwa ajili ya Rais kutembelea maeneo mbalimbali ya uzalishaji kiwandani hapo
 "Unaona hukooo"  Bakhresa akimuonyesha kitu Rais Kikwete katika eneo la uzaloishaji vinywaji vya Azam Malt.




 Bidshaa zenyewe ndizo hizo....
 Rais akipata maelezo kutoka kwa mtaalam katika chumba cha maabara ya kiwanda hicho
 "tunafanya hivi halafu hivi.... kujidhirisha kuwa bidhaa ni bora anasema mtaalam
 Rais akionyeshwa mitambo ya kisasa ya kusindika bidhaa  za malt







 Hapa ni kwenye eneo la Azam Cola
 Rais akionyshwa matunda yanayotumika kutengenezea bidhaa za Azam malt

 Rais akitoka baada ya kutembelea kiwanda
Burudani ya JWTZ ikihanikiza nje wakati Rais akienda kufungua rasmi kiwanda hicho
 Rais Jakaya Kikwete akizindua kiwanda kipya cha kusindika maji ya matunda na soda cha Bakhresa Food Products Ltd, kilichopo Mwandege, mkoa wa Pwani, leo, Oktoba 13, 2013. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda na Kushoto ni Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa Kampuni za Azam, Said Salim Bakhresa.
 Rais Jakaya Kikwete akizindua kiwanda hicho.
 Rais akimpongeza Bakhresa
 Rais akizungumza baada ya kuzindua kiwanda hicho



This entry was posted in

Leave a Reply