Google PlusRSS FeedEmail

PINDA AKAGUA MAREKEBISHO YA UKUMBI WA BUNGE KWA AJILI YA BUNGE LA KATIBA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua kazi ya uwekaji viti vipya  katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo, Januari 18,2014 ikiwa ni maandalizi ya  Bunge la Katiba linalotarajiwa kuanza mwezi ujao. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu)

This entry was posted in

Leave a Reply