Google PlusRSS FeedEmail

KUMBUKUMBU YA MIAKA 10 YA NDG. STEPHEN S. SHILATU



Ilikuwa dakika, saa, mwezi na sasa ni miaka 10 kamili tangu alyekuwa Baba wa Marehemu John Stephano Shilatu, Mzee STEPHANO SHIGEMELO SHILATU wa Kisesa Mwanza atutoke ghafla duniani mnamo tarehe 04/09/2003 kutokana na mradhi yaliyokuwa yanakusumbua.

Unakumbukwa na wanao, wajukuu, vitukuu, ndugu, jamaa na marafiki zako ambao hawataa wausahau ucheshi, upendo, na huruma zako kwa kila mtu.

Tunazidi kumuomba Mwenyezi Mungu akupumzishe mahali pema peponi.
JINA LA BWANA LIHIMIDIWE! AMEN!!

This entry was posted in

Leave a Reply