Google PlusRSS FeedEmail

ZIARA YA KINANA YATIKISA KYELA, MAELFU WAFURIKA MIKUTANO YAKE, AKATA VICHOCHORO HADI KWA WAJUMBE WA MASHINA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika kata ya Ipinda, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013, alipowasili katika kata hiyo akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua.
 Maelfu wa wananchi wakimsikiliza Katibu wa NEC, Itikadi na Unezi Nape Nnauye kwenye mkutano wa CCM uliofanyika Kata ya Ipinda, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013.
 Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia maelfu ya wananchi katika kata ya Ipinda, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013, Wakati Katubu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipowasili katika kata hiyo akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua.
 Katibu Mkuu wa CCM, akikagua mradi wa maendeleo ya Ujenzi wa jengo la huduma za wenye virusi vya Ukimwi,katika Hospitali ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013, alipowasili katika wilaya hiyo akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya, Maganga Sengerema na Katibu wa NEC, Itikati na Uenezi Nape Nnauye.
 Baba, Raphael Simon (kulia) na mtoto wake, Simon Raphael waliokuwa wanachama wa Chadema, wakiwa na kadi za Chama hicho kabla ya kumkabidhi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati), katika mkutano  wa shina, uliofanyika nyumbani kwa  Mjumbe wa shina la Menasi Ndoma, Kata ya Matema, Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiwa na Mjumbe wa Shina, Menas Ndomba, baada ya kuwasili nyumbani kwa mjumbe wa shina hilo, katika kata ya Matema, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013. alipowasili katika kata hiyo akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua.
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa KImataifa, Dk. Asha-Rose (watatu kushoto waliokaa), na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (katikati) wakiwa na wananchi, nyumbani kwa mjumbe wa shina,  Nemas Ndoma, Kata ya Matema, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013, wakati Katibu Mkuu wa CCM alipowasili nyumbani kwa mjumbe huyo wa shina, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua.
 Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Mbeya Dk. Mary Mwanjelwa, akilala chini mbele ya wananchi nyumbani kwa mjumbe wa shina, Menasi Ndoma, kuwashukuru kwa mapokezi mazuri ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia), alipowasili katika shina hilo akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua.
Kupenda watoto: Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akichezea 'kigari' cha watoto Asifiwe Mwambene na John Asimwisye, alipokutana nao njiani akiwa katika ziara, ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kushirikiana nao njia ya kuzitatua, katika Kata ya Matema, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013.

This entry was posted in

Leave a Reply