Google PlusRSS FeedEmail

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WATAALAMU WATATU WA UTAFITI WA CHANJO YA MALARIA KUTOKA IFAKARA HEALTH INSTITUTE


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dr Ally Olot, mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa watafiti wa Ifakara Health Institute (IH) ( Malabo, Equatorial Guinea) walipomtembelea kwenye makazi yake mjini Malabo ambako Rais alikuwa anahudhuria mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika. Wengine ni Dr. Mwajuma Chemba ambaye ni Mtalaamu mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria, na Elizabeth Nyakarungu, Mtaalamu wa maabara, utambuzi wadudu wa malaria).

This entry was posted in

Leave a Reply