Google PlusRSS FeedEmail

WAZIRI MKUU AREJEA DODOMA LEO KUENDELEA NA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na viongozi wa mkoa   baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege wa Dodoma   kwa ajili ya kikao cha Bunge Maalum la Katiba akitoka Dar es Salaam, Aprili 23, 2014. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Rehema Nchimba (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)

This entry was posted in

Leave a Reply