Google PlusRSS FeedEmail

RIDHIWANI KUANZA NA BARABARA KISHA ELIMU NA AFYA TOKAMISASA


 Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la wakulima na wafugaji kwa kuweka mpango bora wa matumizi ya ardhi.
  Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la huduma za afya linatatuliwa, kuboresha miundo mbinu elimu na kurudisha michezo jimboni.
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete akicheza muziki na Miraji Mtaturu Katibu wa CCM  Wilaya ya Mufindi wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Chalinze uliofanyika kwenye kitongoji cha Mbuyu kijiji cha Tokamisasa kata ya Ubena Zomozi.
 Sam wa Ukweli akitumbuiza kwenye kampeni za CCM zilizofanyika katika kijiji cha Tokamisasa kitongoji cha Mbuyu.
 Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Chalinze CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akisalimiana na wazee wa kijiji cha Tokamisasa wakati akiwasili kwenye kitongoji cha Tuka Mjini tayari kwa kufanya mkutano wa kampeni.
 Msanii wa Mashairi Mwanahamisi Mohamed wenye ulemavu wa macho akiimba shairi linaloitwa Changamoto wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Chalinze CCM ambapo Ridhiwani Kikwete alihutubia na kuomba kura kwa wananchi wa kijiji cha Tokamisasa. 
 Wakina Mama wa Kimasai wakifuatilia kwa makini mkutano wa kampeni za ubunge za CCM ambapo mgombea wa CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete alifika katika tawi la Kivuga na kuomba kura.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wafugaji wa Kimasai wa Tawi la Kivuga kata ya Ubena Zomozi wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Chalinze.
Mgombea Ubunge wa CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akizungumza na vijana wajasiriamali wa UVCCM mshikamano Visakazi mara baada ya kuzindua shina hilo lililopo katika kata ya Ubena Zomozi.

This entry was posted in

Leave a Reply