Google PlusRSS FeedEmail

MKUTANO WA KINANA MWEMBEYANGA WAWEKA HISTORIA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga.
 Wananchi waliohudhuria mkutano huo, uliofanyika juzi,  kumpongeza Rais
Jakaya Kikwete kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuzindua Bunge Maalum la
katiba,linaloendelea mjini Dodoma.


 Kinana akionyesha kadi ya Chadema aliyokabidhiwa na Ramadhan (kushoto).
 Wananchi wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalumu.

 Balozi Ali Abeid Karume, akizungumza katika mkutano huo

 Mwenyekiti wa Chama cha SDF cha Cameroun, John Frundi, akizungumza katika
mkutano huo. Kushoto ni Kinana na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es
Salaam, Ramadhan Madabida.

 WANACHAMA wa CCM, wakimpongeza Kinana kutokana na juhudi zake katika
kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.

Baadhi ya wajumbe waalikwa waliohudhuria mkutano huo.


Picha zote na Khamis Hama

This entry was posted in

Leave a Reply