Google PlusRSS FeedEmail

SERIKALI, UNDP, PATH WAKUBALIANA NIJA BORA YA KUKABILIANA NA TB,MALARIA NA MAGONJWA MENGINE KWENYE NCHI ZA JOTO


DSC_0773

Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila, akifungua rasmi warsha ya mradi wa upatikanaji na utekelezaji wa pamoja kati ya Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP) na Shirika la Kimataifa lisilokuwa la Kiserikali (NGO) PATH kwenye sekta ya Afya katika utumiaji na uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ya TB, Malaria na magonjwa yaliyoachwa katika nchi za joto. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkazi, Oparesheni wa UNDP, Bw. Titus Osundina.

DSC_0730

Washiriki wakifuatilia mada mbalimbali katika warsha hiyo ya siku moja ambayo ilikuwa inazungumzia mradi wa pamoja wa upatikanaji na utekelezaji kati ya UNDP na PATH jinsi ya uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ambayo yanapatikana katika nchi za joto.

DSC_0789

DSC_0732

DSC_0804

Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila akiteta jambo na Naibu Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Bw. Titus Osundina wakati wa warsha ya Upatikanaji na Utekelezaji wa pamoja katika miradi ya utathimini na mipango inayowashirikisha UNDP na PATH.

DSC_0723

Picha juu na chini ni Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila, akibadilishana mawazo na kusalimiana na baadhi ya washiriki wa warsha hiyo.

DSC_0708

This entry was posted in

Leave a Reply