Google PlusRSS FeedEmail

KINANA ATUA SUMBAWANGA LEO KUANZA ZIARA YA SIKU 21 MIKOA YA RUKWA, KATAVI NA KIGOMA

Mar 30, 2014
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishuka kwenye Ndege, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga baada ya kuwasili leo kwa ajili ya kuanza ziara ya siku 21, katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa,  Hypolitus Matete, akimlaki Kinana (kulia) Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga, leo. Kushoto ni  Katibu wa CCM wa mkoa, Lahel Ndegeleke
 Chipukizi wa CCM, Sharifa Tamim akimvisha skavu Kinana Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
 Kinana akipita katika paredi la Chipukizi baada ya kulakiwa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
 Kinana akiwasalimia viongozi mbalimbali Uwanja wa Ndege wa Sumbawanja, anayesalimia (kushoto) ni Mjumbe wa NEC, Ali Karume
 Kinana akimsalimia Mwenyekiti wa CCM Sumbawanga mjini, Emmanuel Kilindu, baada ya kuwasili Uwanja wa Sumbawanga, Kati ni Mzee wa Chama, Clisant Msindakaya
 Kinana akisalimia wananchi Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
 Kinana na Karume wakiaga wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
 Kinana na Karume wakifurahia ngoma, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
 Kinana akiwaaga wananchi waliompokea Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
 Kinana akiwasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Rukwa kuzungumza na Kamati ya Siasa ya mkoa
Kinana akifurahia jambo na Mzee wa Chama, Chrisant Mzindakaya nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Rukwa. Picha zote na Bashir Nkoromo wa theNkoromo Blog

This entry was posted in

Leave a Reply