Google PlusRSS FeedEmail

CCM YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO KALENGA

Wananchi wakiwa wamembeba kwa furaha mgombea wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi, kwenye Uwanja wa Mnada, Kijiji cha Kidamali, Kata ya Nzihi, leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Naibu Katibu Mkuu (Bara) Mwigulu Nchemba na Mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa wakisalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano huo.
Kinana na Mgimwa (kulia) wakisalimia wananchi baada ya kuwasili Uwanjani
Mwigulu akihutubia kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Kinana akimnadi Mgimwa kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wakinyoosha mikono kuahidi kumchagua Mgimwa  kesho

Mgimwa akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni

This entry was posted in

Leave a Reply