Google PlusRSS FeedEmail

KATA YA MSASANI YAPONGEZANA KUKAMILISHA UCHAGUZI SALAMA

 KATIBU Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akihutubia katika hafla ya wana CCM wa Kata ya Msasani, Dar es Salaam, kupongezana kwa  kukamilisha uchaguzi katika kata yao, iliyofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club, jana. Kuhsoto ni Menyekiti wa CCM wa kata hiyo, Daudi Othmani.

.KATIBU Mkuu wa CCM Wilson Mukama akimkabidhi cheti cha ushiriki katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa Chama, Kijana wa UVCCM, Mwanaidi Mapunda wakati wa sherehe ya kupongezana wana CCM wa Kata ya Msasani, Dar es Salaam, kwa  kukamilisha uchaguzi katika kata yao, iliyofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club, jana. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Msasani Daudi Othmani.

KATIBU Mkuu wa CCM Wilson Mukama akimkabidhi cheti cha ushiriki katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa Chama, Kamanda wa UVCCM Kata ya Msasani, Dk. Suleiman Mohammed, wakati wa sherehe ya kupongezana wana CCM wa Kata ya Msasani, Dar es salaam, kwa  kukamilisha uchaguzi katika kata yao, iliyofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club, jana. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo, Daudi Othmani.

KATIBU Mkuu wa CCM Wilson Mukama akiwaaga wana-CCM, baada ya kushirikiiriki katika sherehe ya kupongezana wana CCM wa Kata ya Msasani,Dar es Salaam,  kwa  kukamilisha uchaguzi katika kata yao, iliyofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club, jana.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

This entry was posted in

Leave a Reply