Google PlusRSS FeedEmail

KATIBU MKUU WA CCM,AWASILI MOROGORO LEO

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana akisalimia wananchi wa Morogoro mara baada ya kuwasili Mkoani hapo,katika makao makuu ya CCM Morogoro.

Katibu Mkuu,Ndugu Abdulrahaman Kinana akiwasalimu wananchi wa Mkoa wa Morogoro,ambapoa atakuwa na ziara ya kikazi mkoani hapo kwa muda wa wiki moja.


This entry was posted in

Leave a Reply