Google PlusRSS FeedEmail

MABALOZI 449 WA NYUMBA 10 WAKUTANA NA KINANA NJOMBE


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akisalimiana na wakazi wa Njombe nje ya ofisi za CCM wilaya.
Wenyeviti wa Zamani wa CCM wilaya ya Njombe wakifurahia salaam za KatibuMkuu alipowasili kwenye Makao Makuu ya CCM Wilaya ya Njombe.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongea na wakazi wa Wilaya ya Njombe waliofika kumpokea nje ya Makao Makuu ya CCM wilaya.

Katibu Mkuu wa CCM akiwasili kwenye ukumbi wa  mkutano wa UWT Hall,mkoani Njombe.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono mabalozi wa nyumba 10 .

This entry was posted in

Leave a Reply