Google PlusRSS FeedEmail

WAZEE WA KIMILA WAMPONGEZA MBUNGE NYAMBARI NYANGWINE

NYAMBARI NYANGINE
TARIME, Tanzania
SAISA chafu zinazodaiwa kuanza kushika kasi katika majimbo ya Tarime na Rorya, zimewaibua wanasiasa wakongwe na wazee wa kimila, ambao wametoa maonyo makali.

Pia, wamewataka wananchi kuendelea kuwaunga mkono wabunge Nyambari Nyangwine (Tarime) na Lameck Airo (Rorya), ili waendeleze kasi ya kuleta maendeleo.

Wamesema majimbo hayo kwa sasa yamekuwa mfano wa kuigwa nchini kutokana na maendeleo makubwa yaliyopatikana tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma, ambapo wamesema kamwe wanachama wanaoendesha siasa za makundi wasipewe..>>Inaendelea>BOFYA HAPA

This entry was posted in

Leave a Reply