Google PlusRSS FeedEmail

MATUKIO MBALI MBALI NJE YA UKUMBI WA NEC

 Mwenyekiti wa Mkoa wa Kagera Constansia Buhiye akizungumza na aliyekuwa Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Hamis Suleiman Dadi nje ya ukumbi wa NEC, Dodoma leo, kushoto ni Katibu wa Mkoa wa Kagera Avelin Mushi.

 Meya wa Bukoba ndugu Anatory Amani akizungumza na Mwneyekiti wa UVCCM nje ya ukumbi wa NEC mara tu baada ya kutoka kwenye mahojiano na kamati kuu ya CCM.
Watumishi wa Makao Makuu CCM, kutoka kushoto ni Suleiman Serera,Adam Soud, Katibu Mpya wa  CCM Mkoa wa Morogoro ndugu Romuli  John na Annamringi Macha wakibalishana mawazo nje ya ukumbi wa NEC ,Dodoma.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari juu ya uamuzi wa kamati kuu kubatilisha uamuzi wa kufukuzwa madiwani wa Bukoba.

This entry was posted in

Leave a Reply