Google PlusRSS FeedEmail

KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA GNSM CONTRACORS CO. LTD INAYOENDESHA NA GEOFREY MUNGAI YATOA MSAADA WA CHAKULA CHA MWAKA MPYA KWA YATIMA TOSAMAGANGA

Mkurugenzi  mtendaji  wa  kampuni  ya ujenzi  wa barabara mkoani  Iringa Ya GNSM Contractrors Co. Ltd Bw  Geofrey Mungai kulia akikabidhi msaada  wa chakula na  vitu mbali mbali vyenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 1.5 kwa mlezi wa  kituo cha watoto  yatima cha  Tosamaganga Sisita  Herena Kihwele. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

This entry was posted in

Leave a Reply