Google PlusRSS FeedEmail

MZEE MWINYI AFUNGUA MAKAO MAKUU YA BPZ MJINI ZANZIBAR

RAIS Mstaaf wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi,akikata Utepe kuashiria kuifunga Makao Makuu ya Benki ya  PBZ Ismamic Bank ilioko katika jengo la Bima  Mpirani Zanzibar, kushoto Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee na Mkurugenzi  Mtendaji PBZ Bwa Juma Amour, ikiwa ni shamrashamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

This entry was posted in

Leave a Reply