Google PlusRSS FeedEmail

PINDA APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  akitazama pikipiki mbili kati ya 44 zilizotolewa msaada kwake na  Ubalozi wa China  nchini pamoja na Kampuni ya  Futang ya China katika  makabidhiano yaliyofanyika  kijijini kwake, Kibaoni wilayani Mlele Desemba  24, 2013. Wapili kulia ni  Balozi wa China nchini, Dr. Lu Youqing. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

This entry was posted in

Leave a Reply