Google PlusRSS FeedEmail

KINANA AITEKA MBARALI, RUJEWA YARINDIMA, MAELFU YA WANANCHI WAJITOKEZA MKUTANO WA HADHARA

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa shue ya Msingi Rujewa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013.
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia maelfu ya watu katika Uwanja wa shue la Msingi Rujewa, wilayani Mbarali katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013.
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akihutubia maelfu ya watu katika Uwanja wa shue la Msingi Rujewa, wilayani Mbarali katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013.
Maelfu ya wananchi wakiishangilia CCM, katika mkutano wa hadhara  uliofanyika Uwanja wa shuela Msingi Rujewa, wilayani Mbarali katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kukagua
utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013. 
 Kinana akitazama ngoma ya jamii ya wafugaji wa Kimasai kwenye mkutano wa hadhara, Rujewa,wilayani Mbarali, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013.
 Vijana wa Kimasai wakitoa burudani katika mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Des 2, 2013,katika Kata ya Rujewa, wilatani Mbarali Mbeya
 Mabinti wa Kimasai wakishangilia katika mkutano wa hadhara wa CCM, uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kwenye uwanja wa shule ya msingi Rujewa wilayani Mbararli mkoani
Mbeya.
 Kinana akiwaaga wananchi baada ya kuwahutubia katika Uwanja wa shulke ya msingi  Rujewa, wilayani Mbarali, Mbeya Des 2, 2013.
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akikagua eneo la mto unaosambaza maji kwa ajili ya mradi wa kilimo cha umwagiliaji wa Mwendamtifu, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye. Mradi huo umeelezwa kuwa na mgogoromkubwa wa ardhi kati ya wananchi na mwekezaji mmoja katika eneo hilo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (watatu kushoto) akiwasili kwenye mkutanowa hadhara aliohutubia, kwenye Uwanja wa shule ya msingi Rujenwa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013. Wengine kutoka kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Katibu wa CCM mkoawa Mbaya Maganga Sengerema, Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abas Kandoro na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawila CCM Ihanga, kata ya Rujewa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Godfrey Zambi na Watatu ni Mwenyekiti wa CCM Kata ya Rujewa, Widen Ndamu.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na msafara wake wakipokewa kwa shangwe na wananchi baada ya kuwasili katika Kata ya Rujewa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kuzitatua, katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Des 2, 2013. Imetayarishwa na theNkoromo Blog.

This entry was posted in

Leave a Reply