Google PlusRSS FeedEmail

MAWAZIRI WATEMBELEA BANDA LA MeTL GROUP MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR


DSC_0086

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akiwasili kwenye banda la Makampuni ya MeTL GROUP na kulakiwa na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji (wa pili kushoto). Kulia ni Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali na Kushoto ni Afisa Mauzo wa MeTL GROUP, Yusuf Sadiq.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).

DSC_0063

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na mkewe akiwasili katika banda la Makampuni ya MeTL Group kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0064

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer ( wa pili kulia) akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid kwenye banda la Makampuni ya MeTL Group kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Kulia ni Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali.

DSC_0090

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Makampuni ya MeTL GROUP linalotoa huduma za bidhaa mbalimbali zikiwemo Soda, Unga, Mafuta ya kupikia, Sabuni za kufulia na Sabuni za kuogea na vingine vingi.

DSC_0070

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Makampuni ya MeTL Group huku Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer akishuhudia tukio hilo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0097

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer (wa pili kulia) akimuelezea mchanganyiko uliotumika kutengenezea Soda zinazozalishwa na kiwanda cha AOne chini ya kampuni ya MeTL GROUP Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) aliyetembelea banda hilo jana kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0100

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer akimwonyesha kinywaji kipya cha “MO Bomba” (Energy Drink)inayozalishwa na Aone kampuni mama ya vimiminika ya MeTL GROUP, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) aliyetembelea banda hilo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0118

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer (katikati) akitoa maelezo ya mali ghafi zinazotumika kutengenezea Mafuta ya kupikia yanayozalishwa na kiwanda cha East Coast Oils and Fats chini ya makampuni ya MeTL GROUP kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) aliyetembelea banda hilo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0124

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akikagua moja ya madumu ya mafuta yanayotengenezwa na kampuni ya MeTL GROUP alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar . Katikati ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer.

DSC_0143

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer akimkabidhi zawadi ya Vitenge na Khanga vinavyozalishwa na kiwanda cha 21st CENTURY Textile Ltd chini ya Makampuni ya MeTL GROUP alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0146

Mdhibiti ubora idara ya sabuni za kampuni ya MeTL GROUP, Cuthbert Sangiwa Msuya akitoa maelezo ya utengezaji wa sabuni na vipodozi vya kampuni hiyo kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) ( wa tatu kulia)alipotembelea banda hilo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer.

DSC_0004

Umati wa wakazi wa jiji la Dar wakimiminika kujipatia mahitaji maalum kwenye banda la makampuni ya METL kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar

DSC_0186

Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali (wa pili kushoto) akimwonyesha bango la kampuni ya mama ya MeTL GROUP, STAR OIL Ltd wauzaji wa mafuta magari Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) aliyembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0033

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer akipozi na mtoto aliyenunua kinywaji cha MO Malt kinachotengenezwa na kiwanda cha AOne chini ya kampuni ya MeTL GROUP.

DSC_0203

Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali (Katikati) akitoa maelezo ya Baiskeli bora na imara za NABICO zinazotengenezwa na kampuni MeTL GROUP kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) aliyembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Kulia ni Msimamizi wa mauzo kwenye la maonyesho ya sabasaba la MeTL GROUP, Jumanne Kisawaga.

DSC_0226

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer (kushoto) wakati akikagua Matrekta ya MeTL AGRO na zana bora za Kilimo zikiwemo Mbolea kwenye banda la makampuni ya MeTL GROUP hiyo kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Wa pili kulia ni Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali.

DSC_0256

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer akifafanua jambo kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo jana jijini Dar.

DSC_0232

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji- Jaffer akimsindikiza Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid mara baada ya kutembelea banda la maonyesho ya Sabasaba la kampuni hiyo kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0265

Msaidizi wa Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL Group, Kelvin Msangi akiagana na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea banda la kampuni hiyo.

DSC_0335

Mkurugenzi wa Masoko wa Makampuni ya MeTL “The People’s Brand”, Fatema Dewji- Jaffer akiwa (wa pili kushoto) kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa makampuni hayo ndani banda lao la maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0313

Mkazi wa jiji la Dar aliyekutwa na mpiga picha akiwa amejitwisha Carton ya Soda mpya za MO Portello zinazozalishwa na kamapuni ya MeTL Group kwenye duka la bidhaa banda mbalimbali ndani ya Banda la kampuni hiyo.

DSC_0345

Wafanyakazi wa wa Royal Soap Detergent Industries Zuhura Mwachuma na Aneth Masesa wakionyesha wateja bidhaa zao za sabuni ya unga waliofika kwenye banda la kampuni ya MeTL kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0323

Baadhi ya wafanyakazi wa makampuni ya MeTL wakipanga bidhaa mbalimbali kwenye duka lao lililopo ndani ya banda lao mbalimbali kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0041

Msaidizi wa Mkurugenzi wa Masoko MeTL Group, Kelvin Msangi akipozi na mmoja wa wateja Bw. Bantanuka Burchardy baada ya kuwakabidhi zawadi ya T-shirt na Soda kama asante kwa kulwanunulia watoto wake Baiskeli mpya zilizopo kwenye banda la MeTL GROUP kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0021

Msaidizi wa Mkurugenzi wa Masoko MeTL Group, Kelvin Msangi akimkabidhi zawadi Fransisca Bonifa mmoja wa wateja aliyenunua Viitenge kwenye banda la MeTL lililopo kwenye kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

DSC_0303

Mtaalamu wa kutembea juu kamba nchini Hassan Mkenjula a.k.a SPIDERMAN akitembea juu kamba huku akijiandaa kuvaa T-Shirt juu ya kamba hiyo huku umati wa watu ukishuhudia burudani hiyo…..Burudani hiyo ipo hapo siku zote za maonyesho ya Sabasaba mletee mtoto wako na familia waje kushuhudia burudani ya bure kabisa huku mkijipatia mahitaji mbalimbali kwenye banda la MeTL Group.

This entry was posted in

Leave a Reply