Google PlusRSS FeedEmail

JENISTA ATOA MSAADA WA PIKIPIKI 10 KWA MAKATIBU KATA WA CCM.

 NA DUSTAN  NDUNGURU    SONGEA.

MBUNGE wa jimbo la Peramiho wilaya ya Songea vijijini mkoa wa Ruvuma Jenista Mhagama ametoa msaada wa pikipiki  saba zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 kwa makatibu kata wa chama cha mapinduzi(CCM) ili kuwarahisishia utendaji wa kazi zao ndani ya chama.

Jenista alitoa msaada huo jana katika kijiji cha Lipokela kilichopo katika kata ya Mbingamhalule ambapo kata za Kikunja ,Mtyangimbole,Muungano, Kata mpya ya Peramiho ,Mpandangindo ,Mkongotema ,na Mbingamhalule zilinufaika na msaada huo.

Akikabidhi msaada huo aliwataka makatibu kata hao kutambua kwamba pikipiki hizo walizokabidhiwa siyo mali yao binafsi bali zitatumika kwa ajili ya shughuli zote za chama na serikali ikiwa ni pamoja na kusaidia kubebea wagonjwa katika maeneo yao.

Inaendelea

This entry was posted in

Leave a Reply