Google PlusRSS FeedEmail

WANANCHI WA MCHINGA WAMPONGEZA MBUNGE WAO KWA KUCHAGULIWA KUWA MBUNGE WA AFRICA

Mbunge wa Mchinga Mheshimiwa Said Mtanda akiongea na wananchi wake na kuwashukuru sana kwa pongezi na ameahidi kufanikisha mengi ya maendeleo katika jimbo lake.

Mbunge wa Mchinga Mheshimiwa Said Mtanda akipokewa kwa Shangwe na Vijana wa Jimbo lake

Mheshimiwa Tambwe Hiza akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mchinga katika sherehe za kumpongeza Mbunge wao Mh. Said Mtanda kwa kuchaguliwa kuwa mbunge wa Africa.


This entry was posted in

Leave a Reply