Google PlusRSS FeedEmail

KATIBU MKUU WA CCM AMUAGA BALOZI WA CUBA NCHINI

 Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akiwa na Balozi wa Cuba anayemaliza muda wake hapa nchini, Ernasto Gomez Diaz  baada ya kumkabidhi zawadi ya kinyago, mjini Dar es Salaam, jana
Katibu Mkuu wa CCM Taifa akizungumza na  Balozi Ernasto Gomez Diaz, baada ya kumkabidhi zawadi. Kulia ni  Balozi Mshana kutoka Idara ya Siasa na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Mpogolo kutoka ofisi ya Katibu Mkuu CCM,

This entry was posted in

Leave a Reply