Google PlusRSS FeedEmail

KAMPENI ZA CCM KUGOMBEA KITI CHA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA CHAMBANI ZAZINDULIWA RASMI NA MHE. BLZ SEIF ALI IDDI MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM AMBAE PIA NI MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, TAREHE 26/05/2013.


WanaCCM na Wananchi wa Jimbo la Chambani Wakimsiliza Mgeni Rasmi wakati akiuhutubia Umma katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi mdogo wa Kiti cha Ubunge Jimbo la Chambani Mkoani Pemba.

This entry was posted in

Leave a Reply