Google PlusRSS FeedEmail

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe: Balozi Seif Ali Iddi akimtambulisha Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CCM wa Jimbo la Chambani Ndg. Mattar Zahran Said katika Mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya tarehe 26/05/2013 katika viwanja vya Skuli ya Ukutini Jimboni humo.

This entry was posted in

Leave a Reply