Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kigoma kuanza ziara ya siku tano mkoani humo jioni hii.

Kijana wa UVCCM, Khadija Kanyoye akimvisha skavu Kinana Uwanja wa Ndege wa Kigoma

Katibu Mkuu wa CCM, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu, Isaa Machibya Uwanja wa Ndege wa Kigoma. Katikati ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ambaye pia alitua Kigoma leo asubuhi

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mjumbe wa NEC, Kirumbe Ng'enda Uwanja wa Ndege wa Kigoma

Kinana akiondoka Uwanja wa Ndege wa Kigoma. Picha zote na Bashir Nkoromo wa CCM Blog