Google PlusRSS FeedEmail

KATIBU MKUU WA CHAMA CHA PPRD AWASILI KIGOMA LEO.

Katibu Mkuu wa Chama Cha PPRD ,Evarist  Bushabe ( Kulia) akisalimiana na Katibu Mwenezi  wa Chama chake  Emmanuel Embaswa mara baada ya kuwasili kwenye kiwanja cha ndege cha Kigoma.

Katibu Mkuu wa chama cha PPRD ,Evarist Bushabe(katikati) akiwa pamoja na Waziri wa Mipango Sera na uwezeshaji Ofisi ya Rais Steven Wassira(Kushoto) mara baada ya kuwasili Kigoma leo na ndege ya Precision Air.
Katibu Mkuu wa PPRD akipokelewa kwa furaha leo Kigoma, amekuja kushiriki sherehe za miaka 36 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)


Wakina mama kutoka Congo DRC wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumpokea kiongozi wa chama chao PPRD,Kigoma leo.


Dk.Asha- Rose Migiro ,Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa  Kimataifa akisalimiana na Katibu Mkuu wa chama tawala cha PPRD,Evarist Bushabe aliyewasili leo tayari kushiriki sherehe za miaka 36 ya kuzaliwa chama cha Mapinduzi (CCM).


Ankal Muhidin Issa Michuzi akiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Kigoma leo tayari kwa kushuhudia miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM.

This entry was posted in

Leave a Reply