Google PlusRSS FeedEmail

KINANA AKUTANA NA MABALOZI LEO

Katibu Mkuu wa CCM Taifa,Ndugu Abdulrahaman Kinana  akisalimiana na  Balozi wa Korea Kusini ,II Chung ,kwenye Makao Makuu ya Chama ,Ofisi ndogo Lumumba.

Katibu Mkuu wa CCM Taifa,Ndugu Abdulrahaman Kinana akiwa na Balozi wa Msumbiji Dk.Vicente Mebunia .

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana akimkaribisha Balozi wa Palestina  Dk. Nasria Abu Jaish

Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahaman  Kinana, Dk. Asha-Rose Migiro wakizungumza na  Balozi wa Afrika Kusini  Mhe. T.H. Chiliza,leo katika ofisi ndogo za chama ,Lumumba.

This entry was posted in

Leave a Reply