Google PlusRSS FeedEmail

KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM TAIFA, DODOMA

Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa akiiwakilisha jumuiya ya wazazi, Ndugu William Malecela maarufu kama LeMutuz akiwa anachangia jambo kwenye Kikao cha Kwanza cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM maarufu kama "whitehouse" uliopo Makao Makuu ya Chama Dodoma,leo tarehe 16-17 feb 2013.
Sekretarieti ya Jumuiya ya Vijana wa CCM wakiwa kwenye Kikao cha Kwanza cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM maarufu kama "whitehouse" uliopo Makao Makuu ya Chama Dodoma,leo tarehe 16-17 feb 2013.

Wajumbe mbalimbali wa Kikao cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, wakiwa kwenye Kikao cha Kwanza cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM maarufu kama "whitehouse" uliopo Makao Makuu ya Chama Dodoma,leo tarehe 16-17 feb 2013.

Viongozi wa Meza Kuu, ambao ni (kuanzia kulia Mfaume kizigo-Naibu Katibu Mkuu Bara, Martine Shigela- Katibu Mkuu wa UVCCM, (wa katikati) Mwenyekiti wa UVCCM Taifa-Ndugu Sadiffah Juma, anayefuatia ni Mboni Mhita-Makamu Mwenyekiti wa UVCCM wakiwa kwenye Kikao cha Kwanza cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM maarufu kama "whitehouse" uliopo Makao Makuu ya Chama Dodoma,leo tarehe 16-17 feb 2013.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa CCM, Ndugu Sadifah Juma akiwa anasisitiza jambo kwenye Kikao cha Kwanza cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM maarufu kama "whitehouse" uliopo Makao Makuu ya Chama Dodoma,leo tarehe 16-17 feb 2013.

Mwenyekiti wa UVCCM wa Mkoa wa Dar es salaam, Ndugu Omar Matulanga (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Vijana Mkoa wa Kagera wakiwa nje ya Jengo la whitehouse ambapo wameenda kuhudhuria Kikao cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, kinachofanyika Dodoma.

Kikundi cha chipukizi wa Umoja wa Vijana na wahasishaji kutoka katika Mkoa wa Dodoma, wakiwa wanahamasisha na kuchangamsha wajumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa.

Wajumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa wanaimba nyimbo za kuhasishana katika  Ufunguzi wa Kikao cha Kwanza cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa, ambacho kinafanyika katika Ukumbi wa whitehouse, Dodoma, leo tarehe 16th feb 2013.

This entry was posted in

Leave a Reply