Google PlusRSS FeedEmail

KINANA ASHIRIKI KAZI ZA JAMII KIBONDO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akishiriki ujenzi wa chumba cha darasa katika shule ya sekondari Kumwambo, Wilayani Kibondo, Januari 31, 2013, ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 36 ya CCM ambayo kilele chake kitafanyika  Februari 3, 2013 kwenye Uwanja wa Lake tanganyika mjini Kigoma. Wengine ni badhi ya viongozi waliokuwa kwenye msafara wake, Mwenyekiti wa  Wazazi Tanzania, Abdallah Bulembo (aliyebeba tofali) na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, Dk. Amani Kaborou. (Picha na Bashir Nkoromo).

 Baadhi ya wazee, watendaji na wajumbe wa mashina wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (hayupo pichani) alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Maendeleo wa Kibondo, Januari 31, 2013, ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 36 ya CCM ambayo kilele chake kitafanyika  Februari 3, 2013 kwenye Uwanja wa Lake tanganyika mjini Kigoma. (Picha na Bashir Nkoromo).

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwaaga wananchi wa Kijiji cha  Bunyambo Wilayani Kibondo, Januari 31, 2013, ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 36 ya CCM ambayo kilele chake kitafanyika  Februari 3, 2013 kwenye Uwanja wa Lake tanganyika mjini Kigoma. Wangine ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, Dk. Amani Kaborou na badhi ya viongozi waliokuwa kwenye msafara wake (Picha na Bashir Nkoromo).


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) na msafara wake, wakinunua miwa njiani baada ya kukutana na muuzaji wa miwa hiyo, wakati wakitembea kwa mguu zaidi ya kilometa moja kwenda kwenye mkutano wa hadhara Kijiji cha Bunyambo, baada ya kushiriki shughuli za ujnezi wa Ofisi ya CCM katika kijiji hicho, Wilayani Kibondo, Januari 31, 2013, ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 36 ya CCM ambayo kilele chake kitafanyika  Februari 3, 2013 kwenye Uwanja wa Lake tanganyika mjini Kigoma.(Picha na Bashir Nkoromo).


This entry was posted in

Leave a Reply