Google PlusRSS FeedEmail

KONGAMANO LA KATIBA KWA WANAFUNZI WA VYUO KIKUU LAANZA LEO

Vijana wa Elimu ya juu wakifuatilia kwa makini maoni ya mada mbali mbali kwenye Kongamano la Katiba.
Dk.Harrison Mwakyembe Waziri wa Uchukuzi wakifungua Kongamano la Katiba leo Karimjee Hall.

Viongozi mbali mbali wa vyuo vya elimu ya juu wakifuatilia kwa makini  hoja mbali mbali.
Ndugu Christopher Ngubiagayi akitoa yale muhimu kuhusu uelewa wa Katiba  katika Kongamano la Katiba lililofanyika leo Karimjee Hall.
Assenga Abubakar,Mwenyekiti wa Shirikisho la wanafunzi wa elimu ya juu akifuatilia kwa makini mada muhimu katika Kongamano la Katiba.

Umoja wa Wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania (TAHLISO) leo umeratibu kongamano  la Katiba katika ukumbi wa Karimjee,na kuhudhuliwa na wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali, Mgeni wa heshima katika kongamano hilo ni DK. Harrison Mwakyembe Waziri wa Uchukuzi.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

This entry was posted in

Leave a Reply