Google PlusRSS FeedEmail

RAIS WA GHANA AFARIKI DUNIA

Rais John Atta Mills wa Ghana amefariki dunia siku ya Jumanne baada ya kuugua usiku wake siku ya Jumatatu.
  Rais John Atta Mills alibakisha miezi michache asimame tena kutetea nafasi yake katika uchaguzi mkuu wa rais nchini humo.
Ikumbukwe Ghana ndio nchi ya pili kuzalisha zao la cocoa kwa wingi duniani na Mills alikuwa na mkakati wa kuanzisha uchimbaji wa mafuta nchini Ghana.

This entry was posted in

Leave a Reply