Google PlusRSS FeedEmail

MPAMBANO WA WABUNGE MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA LEO

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akimsalimia Mbunge wa Arimeru Mashariki (Chadema)  Joshua Nasari kabla ya mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na Simba, kuchangia fedha kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi. Yanga walilala kwa mabao 3-2 baada ya kupigiana mikwaju ya penati kufuatia timu hizo kushindwa kufungana katika dakika tisini za mchezo huo.
 Kikosi cha wabunge wa Yanga
 Kikosi cha Wabunge wa Simba
 Benchi la Yanga
 Wachezaji wa akiba wa timu ya wabunge mashabiki wa Yanga
 Joshua Nassari wa timu ya wabunge mashabiki wa Simba (kushoto) akipambana na Michael Kadebe wa Yanga
 Zitto Kabwe (kushoto) wa Simba akichuana na beki wa timu ya Wabunge wa Yanga, Michael Kadebe

This entry was posted in

Leave a Reply