Google PlusRSS FeedEmail

KINANA ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU MSAIDIZI CCM MKOA WA PWANI


KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitia udongo kaburini, wakati wa mazishi ya aliyekuwa Katibu Msaidi wa CCM mkoa wa Pwani, Makame Mohamed Makame, leo kwenye makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam. Makame ambaye amewahi pia kuwa Katibu wa CCm wilaya ya Kilombelo, amefariki juzi katika hospitali ya Tumbi mkoani mkoa wa Pwani. (Picha na Bashir Nkoromo).


This entry was posted in

One Response so far.

  1. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi, amin.

Leave a Reply