Google PlusRSS FeedEmail

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA JENGO JIPYA LA OFISI ZA KAMPUNI YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO NDANI NA NJE YA NCHI (DHL)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake ya uzinduzi jengo jipya la Kampuni ya usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi, DHL wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa jengo hilo, iliyofanyika leo Desemba 07, 2012 katika eneo la Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Picha na OMR


This entry was posted in

Leave a Reply