Google PlusRSS FeedEmail

RAIS KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA UGANDA, AKUTANA NA MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA, AZUNGUMZA NA RAIS MSTAAFU WA KOSOVO


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Uganda aliyemaliza muda wake wa kazi hapa nchini Mhe Ibrahim Mukiibi  alipofika kuaga leo 
Desemba 19, 2012 Ikulu jijini Dar es salam
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mwakilishi wa Benki ya Dunia katika nchi za Tanzania, Burundi na Uganda, Bw. Phillipe Dongier, mara bada ya maongezi yao
leo  Desemba 19, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Rais Mstaafu wa Kosovo Mhe Behgjet Isa Pacolli   leo  Desemba 19, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.

Picha na Ikulu.


This entry was posted in

Leave a Reply