Google PlusRSS FeedEmail

Aggrey Marealle agombea Ujumbe wa NEC ya CCM.

Mjumbe  wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), na Kamanda wa Vijana Wilaya ya Moshi mjini, Aggrey Marealle (kushoto) akirudisha fomu kwa Katibu wa CCM wilaya ya Moshi mjini, Allu Ismaili ili kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM. Hafla hiyo ilifanyika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Moshi mjini.

This entry was posted in

Leave a Reply