Google PlusRSS FeedEmail

ASENGA ASHINDA UJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA MKOA UVCCM MOROGORO..

Mwenyekiti wa Jumuiya ya wananfunzi wa vyuo vya elimu ya Juu nchini CCM, mkoa wa Dar es salaam Ndugu Asenga Damian Abuubakar, akibebwa juu juu na wapambe wake, baada ya kushinda nafasi ya ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Mkoa akiwakilisha wilaya ya Ifakara. Kijana huyo ambaye ni kada mkubwa wa Chama anawakilisha kundi kubwa la vijana wenye ari, uwezo na nia ya dhati ya kukisimamia Chama Cha Mapinduzi na kukiongezea nguvu na fikra mpya za Vijana ili kukijenga zaidi na kukiongezea ustawi.

This entry was posted in

Leave a Reply