Google PlusRSS FeedEmail

Dk.SHEIN AZINDUA MASHINE YA KUNIA MPUNGA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein(wa sita kushoto), akiangalia  Mashine ya Kuvunia Mpunga,(Combine Harvester) baada ya kufanya  uzinduzi wa Mashine hizo,zilizonunuliwa na Serikali ya Mapinduzi zikiwa jumla 14 katika kuboresha hatua za Mapinduzi ya Kilimo,katika Shamba la Mbegu Bambi ,Wilaya ya Kati  Mkoa waKusini Unguja Agosti 06.12.[ Picha na Ramadhan Othman,Ikulu]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akiangalia Mpunga Ukitoka katika mashine ya  Kuvunia Mpunga,(Combine Harvester) baada ya kuzindua mashine  hizo katika shamba la Kilimo la Serikali huko Bambi Wilaya ya Kati  Mkoa wa Kusini Unguja.

This entry was posted in

Leave a Reply