Google PlusRSS FeedEmail

CHADEMA YAKOSA MVUTO MOROGORO

CHADEMA kimekuwa kikikosa watu kutokana na kudaiwa kutokuwa na jipya la kuwaambia wananchi kwenye mikutano yake ya hadhara ya mara kwa mara yenye lengo la kujaribu kukijenga chama hicho mkoani Morogoro.Pichani, ni hali ya mahudhurio ya wananchi kwenye mkutano wa Chadema uliofanyika jana jioni eneo la Kingorwila mkoani humo. (Na Mpigapicha Wetu).

This entry was posted in

Leave a Reply