Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi wa CCM wilaya ya Morogoro mjini, asubuhi hii katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro. Wengine kulia ni Mbunge wa Morogoro mjini Mohammed Aziz Abood, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Katibu wa CCM wilaya ya Moro mjini Fukiri Juma na kulia (kushoto wa pili) Innocent Karogelesi

Wajumbe wa nyumba kumi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, alipozungumza nao asubuhi hii kwenye ukumbi wa VETA mjini Morogoro.