Google PlusRSS FeedEmail

KATIBU MKUU WA CCM AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA KUSINI

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akizungumza na ujumbe wa wafanyabisahara kutoka Afrika Kusini, walipokwenda kumsalimia, Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam. Watatu kushoto ni kiongozi wa msafara huo, Dumisan Sooi

This entry was posted in

One Response so far.

  1. epimark says:

    kama kweli yatafanyiwa kazi ni vema na haki;)

Leave a Reply