Google PlusRSS FeedEmail

BARABARA ZA MITAA YA DODOMA MJINI ZATENGENEZWA KWA KIWANGO CHA LAMI

Shughuli za kutengeneza barabara kwa kiwango cha lami zikiendelea leo katikati ya mitaa ya Dodoma mjini.


Pichani mafundi wa ujenzi wakike na wakiume kwa pamoja wakishiriki kutengeneza barabara katika kiwango cha lami kwenye barabara za manispaa ya Dodoma mjini.


This entry was posted in

Leave a Reply