Google PlusRSS FeedEmail

NAPE AIWAKILISHA CCM MAZISHI YA MSANII WA BONGO MOVIE, JOHN MAGANGA, DAR

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM,  Nape Nnauye akitoa salam za Chama, kwenye msiba wa msanii, Joseph Maganga, Mwananyamala, Dar es salaam. Maganga alifariki Jumamosi hii
 Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi CCM, Nape Nnauye akiwa kwenye shughyuli ya kuaga mwili wa msanii, John Maganga, Mwananyamala, Dar es salaam
 Msanii wa Bongo Movie,  Husna Maulidi 'Lishez', akituliwa na wenzake, Babby Candy na  Ketty wakati akilia kwa uchungu, wakati wa kuaga mwili wa Msanii wa Bongo Movie, marehemu  John Maganga
 Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili huo, Mwananyamala, Dar es Salaam
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpa pole Stephen Maganga, baba wa msanii John Maganga wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyama, Dar es salaam
Nape akizungumza jambo na Rais wa  Chama cha Filam za Bongo Movie

This entry was posted in

Leave a Reply