Google PlusRSS FeedEmail

RAIS KIKWETE ALIPOTEMBELEA BANDA LA GAZETI LA UHURU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete pamoja Abdulrahaman Kinana wakiangalia picha za zamani katika banda la Magazeti ya Uhuru na Mzalendo.

Rais Jakaya Kikwete akiwa ndani ya banda la Gazeti la Uhuru na Mzalendo na amefarijika sana kuona gazeti hilo kongwe la chama kuendelea kuwa moja ya magazeti bora nchini,kushoto ni Mhariri Mtendaji,Josiah Mfungo.


This entry was posted in

Leave a Reply