Google PlusRSS FeedEmail

RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA RASMI KIKAO CHA KAMATI KUU NA NEC DODOMA LEO

Nape Nnauye ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akipiga gitaa la rhythm  na kuimba wakati wa ufunguzi wa kikao cha Kamati Kuu na NEC leo Dodoma.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Chipukizi ,tayari kufungua kikao cha Kamati Kuu na NEC leo Dodoma.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivalishwa skafu na chipukizi  alipowasili Makao Makuu ya Chama leo Dodoma.

Pandu Ameir Kificho spika wa Baraza la Wawakilishi akijadiliana jambo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano,Anne Makinda, kushoto ni Kapteni John Chiligati.


Rais wa Jamhuri wa Muungano na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi,Jakaya Mrisho Kikwete akifungua kikao cha kamati kuu Dodoma leo.


This entry was posted in

Leave a Reply