Google PlusRSS FeedEmail

NAPE AONGOZA WAZAZI NA WANAFUNZI KUJENGA MADARASA


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kupiga lipu katika Shule ya Sekondari  ya Nyansha .




Katibu wa NEC akishiriki  kujenga pamoja na wanakiji cha Nyansha,ujenzi wa madarasa ya Shule ya Sekondari ya  Nyansha.

Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi akishiriki zoezi la kuunga mbao za kuezekea darasa jipya katika shule ya sekondari ya Nyansha,wilaya ya Kasulu.

This entry was posted in

Leave a Reply